Taifa Stars imefika salama jijini Addis Ababa tayari kwa mechi ya kirafiki dhidi ya wenyeji Ethiopia. Mechi hiyo inataraijiwa kuchezwa kesho (Januari 11) Addis Ababa Stadium kuanzia saa 11.30 jioni ambpo majira ya ( Tanzania na Ethiopia hatupishani saa). Stars imefikia katika Hoteli Hilton. Itafanya mazoezi leo jioni katika uwanja wa Addis Ababa kwa saa moja kuanzia saa 11.30 jioni.
MKURUGENZI MKUU WA HALOTEL TANZANIA ATEMBELEA BANDA LA HALOTEL KATIKA
MAONESHO YA SABASABA 2026
-
Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bw. Bui Van Thang, leo ametembelea
banda la Halotel katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es
Salaam ...
7 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment