Habari za Punde

*SERIKALI YA AWAMU YA NNE KUKAMILISHA UJENZI WA MADARAJA 10 SEHEMU MBALMBALI NCHINI

  Wananchi wakivuka kwa taabu sehemu ambako daraja la bonde la Mbutu wilayani Igunga, linajengwa na kuondoa kabisa tatizo hilo mwaka huu ambapo ujenzi huo unaofanywa na muungano wa makandarasi wa Tanzania unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu. Mpaka sasa asilimia 45 ya ujenzi wa daraja hilo lenye thamani ya sh bilioni 11.28 umekamilika na inakadiriwa kuwa litakuwa tayari ifikapo Novemba mwaka huu.
 Wananchi wakivuka kwa taabu sehemu ambako daraja la bonde la Mbutu wilayani Igunga, linajengwa na kuondoa kabisa tatizo hilo mwaka huu ambapo ujenzi huo unaofanywa na muungano wa makandarasi wa Tanzania unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu. Mpaka sasa asilimia 45 ya ujenzi wa daraja hilo lenye thamani ya sh bilioni 11.28 umekamilika na inakadiriwa kuwa litakuwa tayari ifikapo Novemba mwaka huu.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akipata maelezo ya jinsi mashimo ya nguzo za daraja la mto Mbutu, yatavyosimikwa wakati mafundi walipokuwa wakichimba mashimo hayo jana.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.