Wafanyakazi wa Kampuni Spanghero, inayosambaza nyama nchini Uingereza wakiandaa nyama hiyo tayari kwa kupaki katika vifuko kwa kuwauzia wateja wao, ambapo hivi sasa Kampuni hiyo inaandamwa kwa kudaiwa kuwauzia wateja wake nyama ya Farasi badala ya nyama ya Ng'ombe. Imeelezwa kuwa wateja wa kampuni hiyo wamekuwa wakifurahia huduma hiyo wanayoipata kwa bei nafuu tofauti na awali.
KUDAI HAKI ZAKO HAKUKUPI RUHUSA YA KUHARIBU MALI AU KUDHURU WATU WENGINE
-
Mkurugenzi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Onesmo
Olengurumwa, amesisitiza kuwa vyama vya siasa ni washindani na si maadui.
Amesha...
15 minutes ago

No comments:
Post a Comment