Wafanyakazi wa Kampuni Spanghero, inayosambaza nyama nchini Uingereza wakiandaa nyama hiyo tayari kwa kupaki katika vifuko kwa kuwauzia wateja wao, ambapo hivi sasa Kampuni hiyo inaandamwa kwa kudaiwa kuwauzia wateja wake nyama ya Farasi badala ya nyama ya Ng'ombe. Imeelezwa kuwa wateja wa kampuni hiyo wamekuwa wakifurahia huduma hiyo wanayoipata kwa bei nafuu tofauti na awali.
WANAMICHEZO 60 KUIWAKILISHA SIMANJIRO UMITASHUMTA
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
WANAFUNZI wanamichezo 60 wa shule za msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya
Simanjiro wamechaguliwa kuiwakilisha Wilaya hiyo kw...
8 minutes ago

No comments:
Post a Comment