Wafanyakazi wa Kampuni Spanghero, inayosambaza nyama nchini Uingereza wakiandaa nyama hiyo tayari kwa kupaki katika vifuko kwa kuwauzia wateja wao, ambapo hivi sasa Kampuni hiyo inaandamwa kwa kudaiwa kuwauzia wateja wake nyama ya Farasi badala ya nyama ya Ng'ombe. Imeelezwa kuwa wateja wa kampuni hiyo wamekuwa wakifurahia huduma hiyo wanayoipata kwa bei nafuu tofauti na awali.
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyi...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment