Wafanyakazi wa Kampuni Spanghero, inayosambaza nyama nchini Uingereza wakiandaa nyama hiyo tayari kwa kupaki katika vifuko kwa kuwauzia wateja wao, ambapo hivi sasa Kampuni hiyo inaandamwa kwa kudaiwa kuwauzia wateja wake nyama ya Farasi badala ya nyama ya Ng'ombe. Imeelezwa kuwa wateja wa kampuni hiyo wamekuwa wakifurahia huduma hiyo wanayoipata kwa bei nafuu tofauti na awali.
WADAU WA MTANDAO WA VITUO VYA UBUNIFU NCHINI WAPONGEZWA.
-
KATIKA kutambua mchango wa wadau waliochangia maendeleo ya ubunifu nchini,
Mtandao wa Vituo vya Ubunifu Tanzania (THN), umeandaa hafla rasmi ya
kuwapong...
1 minute ago

No comments:
Post a Comment