Sehemu ya pili ya WanaDMV wakifanya mjadala wa kushuka kwa kiwango cha Elimu na matokeoa mabaya ya kidato cha Nne wakianza kuelezea Elimu zamani ilivyokuwa na nini kimesababisha kuporomoka kwa Elimu Je nani alaumiwe na nini kifanyike kuokoa janga hili WASIKILIZE.
UKWELI KUHUSU TUME ZA KIJAJI: NI USHAHIDI WA KIHISTORIA UNAOWASHAWISHI
MARAIS KUCHUKUA HATUA KALI ZA KUBADILI MAMBO
-
Uundaji wa Tume za Kijaji nchini Tanzania umekuwa chombo muhimu na
madhubuti cha kisheria kinachotumiwa na Wakuu wa Nchi pale kunapojitokeza
malalamiko ...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment