Habari za Punde

*MAMA KANUMBA NA LULU WAWAONGOZA WASANII, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI KUADHIMISHA MWAKA MMOJA TANGU KIFO CHA KANUMBA KWA KUWEKA MASHADA YA MAUA KATIKA KABURI HILO

IMG-20130407-WA007
NDUGU, Jamaa na marafiki wa aliyekuwa Nguli wa Filamu nchini, 
Stive Kanumba, leo wamejumuika kwa pamoja katika kuadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu staa huyo wa filamu alipofariki 
dunia.

Ikiwa ni mwaka mmoja tangu kutokea kwa msiba huo, leo pia 

mashabiki wa filamu za kibongo waliohudhuria hafla ya 
kumbukumbu hiyo kwa pamoja kuweka mashada ya maua katika 
kaburi la Kanumba, wamewashuhudia Mama Kanumba na 
Msanii Elizabeth Michael 'Lulu' wakiungana na  kuwa kitu kimoja 
na kuondoa tofauti zao na kuadhimisha kumbukumbu hiyo kwa 
kuwaongoza watu waliohudhuria.

Katika Hafla hiyo walihudhuria pia wasanii kibao wa Filam, ambao 

pia walipata fulsa ya kuweka mashada ya maua.
IMG-20130407-WA008

IMG-20130407-WA006
IMG-20130407-WA005
IMG-20130407-WA004
IMG-20130407-WA003
IMG-20130407-WA001

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.