Kiungo mkabaji wa Yanga, akiwatoka mabeki wa Mgambo JKT, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu, mzunguko wa kwanza uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo Yanga ilishinda mabao 2-0. Mchezo wa mzunguko wa pili baina ya timu hizo unaochezwa kwenye Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga, Mgambo JKt inaongoza bao 1-0, lililofungwa na Issa Kanduru, katika dakika ya 43. Sasa ni kipindi cha pili.
DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO
-
*Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na
kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shiri...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment