Habari za Punde

*MZEE MWINYI AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR ES SALAAM LEO, AZUNGUMZIA UHALALI WA KUCHINJA

Rais Mstaafu wa awamu ya pili,Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati alipozungumzia swala uhalali wa kuchinja ambalo limekuwa ni gumzo sana hapa nchini kwa kipindi cha hivi karibuni.
Baadhi ya wanahabari waliofika nyumbani kwa Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, jijini Dar es Salaam, leo katika mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.