Mkufunzi wa Warembo wa Miss Kibaha, Rehema Uzuwiya (kushoto) akizungumza na warembo wakati wa mazoezi yao ya pamoja yanayoendelea katika ukumbi wa Vijana Kinondoni
Baadhi ya Warembo wanaotarajia kushiriki kinyang'anyiro cha kuwania Taji la Miss Kibaha 2013, wakiwa katika picha ya pozi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Vijana Kinondoni jijini Dar es salaam.



No comments:
Post a Comment