Bondia Zumba Kukwe (kushoto) akimtupia ngumi, Hamaduu Mwalimu wakati wa mchezo wao uliofanyika kwenye ukumbi wa Temeke Mikoroshini. Kukwe alishina kwa K,o ya raundi ya tatu. |
Mwamuzi, Sako Mtlya (katikati) akimhesabia bondia, Hamadu Mwalimu (chini) baada ya kupokea konde zito kutoka kwa Zumba Kukwe (kulia). Kukwe alishina mchezo huo ka K,O ya raundi ya tatu. |
Bondia Zumba Kukwe akishangilia ushindi na Kocha wa Mkoa wa Pwani Agostin Uyaga baada ya kumalizika pambano lao. |
Bondia Mbena Rajabu (kushoto) na Kassim Rajabu wakipambana wakati wa mpambano wao wa utangulizi. |
Matokeo ni Droo. |
No comments:
Post a Comment