MARCOCHALI FOUNDATION na ZANTEL imeanzisha EPIC OPEN MIC kwa nia ya kusaidia vipaji vya wasanii wachanga, na mpaka sasa imefanikisha round ya kwanza ambayo ilipata wasanii 28 waliofanya vizuri. Lakini walioimba kwenye wimbo huu (SIJALEWA LEO) ni baadhi ya wale washiriki 28 walipatikana kwenye ROUND YA KWANZA ya EPIC OPEN MIC ambao ni Jackson Michael (VanStar), Amiri (Amiri), Kulea Richard (Kulea), Scovia Derick (Unique), De'Cypha simony (DeCYPHA). Mdau, tunategemea ushirikiano wako kusaidia vijana hawa kufika sehemu nzuri kimuziki.
Maelfu Wajaa Ruangwa: Dk. Samia Apokelewa Kwa Shangwe
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruangwa
NI upendo mkubwa kwa mgombea Urais Dk.Samia Suluhu Hassan !Ndivyo
unavyoweza kuelezea namna ambavyo maelfu wananchi wa ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment