Mrembo, Megan Young, kutoka nchini Philippino, amefanikiwa kunyakua Taji la Mrembo wa Dunia (Miss World 2013) katika shindano kubwa lililomalizika saa chache zilizopita nchini Indonesia. Mshindi wa Pili katika Taji hilo ni Marine Lorphelin, kutoka nchini Ufaransa na watatu ni Carranzar NaaOkailey Shooter, kutoka nchini Ghana.
NYAKANYENGE: DKT. SAMIA, WABUNGE NA MADIWANI WA CCM LAZIMA WASHINDE
-
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Wazazi CCM Taifa, Edwin Peter Nyakanyenge
akinadi wagombea wa CCM ( Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ubunge -
Patro...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment