Habari za Punde

*NMB YADHAMINI WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI

 Afisa wa Benki ya NMB, Curthbert Zimbwe, akitoa maelezo kwa Wajasiriamali  jinsi ya kupata mikopo midogo midogo kutoka Benki ya NMB. Wajasiriamali hao wanahudhuria mafunzo mbali mbali ya siku tatu Kwenye viwanja vya Mnazi mmoja  kutoka kwa wadau tofauti,  NMB ikiwa ni miongoni mwa wadau  na wafadhili wakubwa wa mafunzo hayo.
Afisa wa Benki ya NMB Abdul Kandoro, akiwaonyesha wajasiriamali  kadi ya Benki ya NMB, ambayo mteja anaipata papo hapo kwa kufungua akaunti ya Chap Chap. Wajasiriamali  hao wanahudhuria mafunzo mbali mbali ya siku tatu Kwenye viwanja vya Mnazi mmoja  kutoka kwa wadau tofauti NMB ikiwa miongoni mwa wadau  na wafadhili wakubwa wa mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.