Habari za Punde

*UZINDUZI WA KITABU CHA MWONGOZO WA UTAWALA BORA.

 Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki akionesha kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” alichokizindua leo makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam.
 Mwenyeki wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Amiri Manento (Jaji Kiongozi Msaafu) akimkaribisha mgeni rasmi Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki na wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa Kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” uliofanyika makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es Salaam. (Katikati) ni Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki, Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyeki wa THBUB Mahfoudha Alley Hamid.
Picha ya pamoja ya Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki baada ya kuzindua Kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” uliofanyika makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es Salaam. Picha zote na Eleuteri Mangi- Maelezo

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.