Kutoka Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, timu ya Yanga, leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting, bao lililofungwa na Hamis Kiiza katika dakika ya 62, ikiwa ni kazi nzuri ya Kiungo Athuman Idd 'Chuji; aliyetokea benchi kuchukua nafasi ya Frank Domayo, na juhudi za mshambuliaji Mrisho Khalfan Ngasa, aliyefanya kazi nzuri iliyomaliziwa na Hamis Kiiza 'Diego'. Kwa matokeo hayo sasa Yanga imefikisha jumla ya Pointi 9,ambapo itakuwa imesogea katika nafasi ya tatu, huku ikitegemea pia na matokeo yote na mchi za leo.
SHULE YA MSINGI MPAKANI YAPATA MSAADA WA MATANKI YA MAJI SAFI KUTOKA ANGLE
PARK.
-
Dar es Salaam – Uongozi wa Angle Park umeeleza dhamira yake ya kuendelea
kushirikiana na wadau mbalimbali ili kusaidia kutatua changamoto
zinazozikabil...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment