| Kibaka jina halikufahamika jana alipokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira huko Kigogo Sambusa, mto Msimbazi baada ya kusadikiwa ameiba deki. |
Kipondo kikiendelea.........Picha zote na Miraji Msala wa Sufianimafoto Blog
| Askari wa usalama barabaran akijaribu kuokoa maisha ya kijana huyo kwa kumpeleka kituo cha polisi lakini haikuwezekana kutokana na wananchi kuwa na hasira na kumzidi nguvu Askari huyo. |
| Baadhi ya wananchi waliojitokeza kushuhudia tukiom hilo... |
No comments:
Post a Comment