Tunawaletea kipindi maalum cha Mazishi ya mpendwa na kipenzi chetu Bi. Martha Shani aliyefariki ghafla nchini Marekani na kuja Kuzikwa nyumbani Tanzania. Katika Kipindi hiki utaona matukio mbalimbali katika safari ya mwisho ya Bi. Martha Shani kuanzia mwili kuwasili Airport Dar es Salaam hadi Singida, Tanzania.
KAMATI YA KUSIMAMIA MADALALI WA MABARAZA YA ARDHI YAKAGUA KAMPUNI ZA
UDALALI DSM
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Uteuzi na Nidhamu ya Madalali wa Mabaraza
ya Ardhi nchini ambaye ni Naibu Msajili wa Mahakam...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment