Habari za Punde

*MVUA ZILIZONYESHA JIJINI DAR JANA BALAA LILIKUWA HIVI MITAA YA KARIAKOO

Hii ndiyo hadha ya Mitaa ya Kariakoo nyakati za mvua, hapa ni mtaa wa Msimbazi ukiwa umejaa maji kutokana na mvua zilizonyesha jijini Dar es Salaam jana mchana, na kusababisha msongamanao mkubwa wa magari, Pikipiki na watu pia kutokana na magari yote kukwepa eneo hili lililojaa maji na kukimbilia upande mmoja, hivyo kusababisha usumbufu wa kupishana.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.