Hii ndiyo hadha ya Mitaa ya Kariakoo nyakati za mvua, hapa ni mtaa wa Msimbazi ukiwa umejaa maji kutokana na mvua zilizonyesha jijini Dar es Salaam jana mchana, na kusababisha msongamanao mkubwa wa magari, Pikipiki na watu pia kutokana na magari yote kukwepa eneo hili lililojaa maji na kukimbilia upande mmoja, hivyo kusababisha usumbufu wa kupishana.
Biashara : NBC Yakutana na Wateja Wake Wakubwa wa Jijini Arusha
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa kutoka
kampuni, wateja binafsi na taasisi mbali mbali (Corporates) wa jijini
Arusha il...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment