Beki wa Kilimanjaro Stars, Erasto Nyoni (kulia) akichuana kuwania mpira na Hassan Ali Roble wa Somali, wakati wa mchezo wa Kundi B, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge mchana wa leo, Uwanja wa Nyayo, Nairobi, Kenya. katika mchezo huo Kilimanjaro Stars ilishinda bao 1-0.
Haroun Chanongo wa Kilimanjaro Stars (katikati) akiwachachafya mabeki wa Somalia, na kumpiga tobo beki wa Somalia, Aden Hussein Ibrahim (kushoto). Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry
TAIFA STARS YATOA SARE 1-1 NA UGANDA AFCON
-
TANZANIA na Uganda zimegawana pointi kwa sare ya kufungana bao 1-1 katika
mchezo wa Kundi C Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) usiku huu
Uwanj...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment