Kutoka Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam, ambako kuna mtanange wa Ligi Kuu kati ya Yanga na Azam Fc, Yanga inaongoza bao 1-0 lililofungwa na Didier Kavumbagu katika dakika ya 14 kipindi cha kwanza. Sasa Mpira ni mapumziko.
MAMBO YANOGA UKURASA MPYA WA HAKI KUENDANA NA WAKATI
-
Katika ulimwengu wa sasa unaokwenda kwa kasi ya mwanga, sheria ambazo
haziendani na wakati ni sawa na nanga inayozuia meli ya maendeleo kung'oa
nanga....
1 hour ago
No comments:
Post a Comment