Habari za Punde

*KARAMA NYILAWILA, SAID MBELWA WATAMBULISHWA KUZICHAPA MEI 24 DAR

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa pambano lao la kuwania ubingwa wa UBO linalotarajia kufanyika Mei 24 mwaka huu, katika ukumbi wa Friends Corner Manzese. Katikati ni Katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST Antony Rutta.
Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa pambano lao la kuwania ubingwa wa UBO linalotarajia kufanyika Mei 24 mwaka huu, katika ukumbi wa Friends Corner Manzese.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.