Habari za Punde

*NIMPENDE NANI YA KISWAHILI YA WABONGO WA UHOLANZI KUTINGA SOKONI 'SOON'

Filamu mpya ya kiswahili iliyochezwa nchini Uholanzi chini ya Muongozaji , Hija Salehe ni Filamu yenye mafunzo, Ucheshi na  vihoja ndani ya wasanii wapya wenye mvuto na ujuzi mwingi . Cheki kionjo cha filamu hiyo, inayokwenda kwa jina la NIMPENDE NANI, inayotarajia kutua Sokoni hivi karibuni.

Ndani yake utakutana na wasanii kama Omary Abbas, Mustapha Khatibu, Nicolas Gabino, Shamim na wengineo wengi. KAA TAYARI

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.