Habari za Punde

*MABONDIA WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA DARA

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati) akiwainuwa mikono juu mabondia Thomas Mashali kushoto na Mada Maugo wakati wa utambulisho wa pambano lao linalotarajia kufanyika jijini Dar es salaam katika Usiku wa Tamasha la Matumaini litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa  Agost 8 mwaka huu.

Wasanii ambao watazipiga siku hiyo Clouds 112 (kushoto) akimchimbia mkwara JB ambaye aliishia kumuangalia kidharau na kusema anasubiri siku ya Agosti 8 katika Uwanja wa Taifa.

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati) akiwawa na mabondia Thomas Mashali kushoto na Mada Maugo wakati wa utambulisho wa mpambano wao.
Clouds 112 (kushoto) akizungumzia mpambano wake wa masumbwi na JB.
Khalid Chokoraa wa Bendi ya Mapacha watatu, akizungumzia pambano lake la masumbwi siku hiyo.
Rais wa Chama cha Ngumi za Kulipwa nchini (T.P.B.O) Yasin Abdallah (kushoto) akizungumza.
Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.