Habari za Punde

*MAKAMU MKUU WA MUHAS AONGOZA KUAAGA MWILI WA PROFESA MBWAMBO

 Makamu Mkuu wa Chuo  Kikuu  cha Afya  na  Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS) Profesa Ephata  Kaaya akiuaga mwili wa  Mhadhiri wa wa chuo hicho marehemu,  Profesa  Zakaria Mbwambo , ambaye ni mume wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi .  Joyce Mapunjo  leo kwenye viwanja vya chuo hicho jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi.  Joyce Mapunjo  akifarijiwa na baadhi  ya waambolezaji leo, wakati wa kuuaga mwili wa marehemu  mumewe  Profesa  Zakaria Mbwambo, ambaye alikuwa ni Mhadhiri  wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS) kwenye viwanja vya chuo hicho  jijini Dar es Salaam.
  Baadhi ya maprofesa wa Chuo  Kikuu  cha Afya  na  Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS), wakitoa  heshima za mwisho kwa mwili wa Profesa  mwenzao ,  marehemu,  Profesa  Zakaria Mbwambo , ambaye ni mume wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi .  Joyce Mapunjo  leo kwenye viwanja vya chuo hicho jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya maprofesa wa Chuo  Kikuu  cha Afya  na  Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS), wakitoa  heshima za mwisho kwa mwili wa Profesa  mwenzao ,  marehemu,  Profesa  Zakaria Mbwambo , ambaye ni mume wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi .  Joyce Mapunjo  leo kwenye viwanja vya chuo hicho jijini Dar es Salaam.
 Mwili wa Mhadhiri wa Chuo  Kikuu  cha Afya  na  Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS)  , marehemu,  Profesa  Zakaria Mbwambo , ambaye ni mume wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi . Joyce Mapunjo  ukiwasili  leo kwenye viwanja vya chuo hicho jijini Dar es Salaam. Pembeni ni baadhi ya maprofesa wenzao wakiusindikiza.
 Baadhi ya maprofesa wa Chuo  Kikuu  cha Afya  na  Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS), wakiwa katika  hali ya huzuni wakati  wa kuuaga mwili wa Profesa  mwenzao ,  marehemu,  Profesa  Zakaria Mbwambo , ambaye ni mume wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi .  Joyce Mapunjo  leo kwenye viwanja vya chuo hicho jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waombezaji  wakiombeleza. Picha zote na Magreth Kinabo - Maelezo

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.