Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakinunua samaki katika kibanda huko Bweni Wilaya ya Pangani juzi wakati Rais alipokwenda kuzindua mradi wa maji na kuweka jiwe la msingi kwaajili ya ujenzi wa maabara shuke ya sekondari Kipumbwi. Picha na Freddy Maro
CAF Yaruhusu Milango Wazi: Mashabiki Kuingia Bure Viwanjani AFCON 2025
-
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki
kuingia bure kwenye viwanja vinavyohodhi mechi teule za Kombe la Mataifa ya
Afrika...
10 hours ago



No comments:
Post a Comment