Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSSA) ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe.
Mwantumu Mahiza akizungumza na waandishi wa habari (hawapopi chani) jijini Dar es
Salaam,leo kuhusu uzinduzi wa mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza tarehe 22
na kuzinduliwa rasmi tarehe 24 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
Jakaya Mrisho Kikwete.
Kutoka (kushoto) ni Katibu Mkuu wa TAMISEMI Jumanne Sagini,
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Bibi. Juliana Yassoda, Mkuu wa Uhamasishaji wa Shirikisho la
Michezo kwa Shule za Sekondari Afrika Mashariki (FEASSSA)Bw. Felix
Shija wakifuatilia maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari za Jumui ya Afrika Mashariki (FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahiza akizungumza na waandishi wa habari leo jijini
Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari,
Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Juliana Yassoda Mkuu wa Uhamasishaji na Matangazo wa Shirikisho
la Michezo kwa Shule za Sekondari Afrika Mashariki (FEASSSA) Bw. Felix
Shija wakifuatilia maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari za Jumui ya Afrika Mashariki
(FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahi za wakati akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar
es Salaam.



No comments:
Post a Comment