Beki wa Tanzania Prisons akichuana na mshambuliaji wa Simba. Katika mchezo huo Simba ilishinda mabao 5-0.
Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Tanzania Prisons 5-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana.

Beki wa Simba, Mohamed Hussein, akiwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliochezwa jana jioni kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mohamed Hussein wa Simba akiwania mpira na beki wa Tanzania Prisons, Lugano Mwangama


No comments:
Post a Comment