| Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' askiwa na mikanda yake ya ubingwa wa Africa wa U.B.O na WPBF, baada ya kutangazwa mshindi. |
| Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akishangilia ushindi na mashabiki wake baada ya kutangazwa mshindi kwenye pambano lake na Cosmas Cheka. |
Bondia Francis Miyeyusho (kushoto) akikwepa konde la Fadhil Majiha, wakati wa pambano lao la raundi nane. Katika pambano hilo Majiha alishinda kwa Pointi.
Bondia Francis Miyeyusho (kushoto) akikwepa konde la Fadhil Majiha, wakati wa pambano lao la raundi nane. Katika pambano hilo Majiha alishinda kwa Pointi.
Ilikuwa ni patashika, pambano hili la Miyeyusho na Majiha......
Miyeyusho akimpeleka chini Majiha.




No comments:
Post a Comment