Habari za Punde

*BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' ANYAKUWA UBINGWA WA U.B.O AFRICA KWA KUMTWANGA COSMAS CHEKA

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kushoto) akichapana na Cosmas Cheka wakati wa pambano lao la kuwania ubingwa wa U.B.O Africa, lililofanyika  mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Uwanja wa ndani wa Taifa. Katika pambano hilo King Class alishinda kwa pointi na kutwaa mkanda huo ambapo kwa sasa Class anashikilia mikanda miwili ya ubingwa wa Africa W.P.B.F na U.B.O Africa.
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' askiwa na mikanda yake ya ubingwa wa Africa wa U.B.O na WPBF, baada ya kutangazwa mshindi.
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akishangilia ushindi na mashabiki wake baada ya kutangazwa mshindi kwenye pambano lake na Cosmas Cheka.
 Bondia Francis Miyeyusho (kushoto) akikwepa konde la Fadhil Majiha, wakati wa pambano lao la raundi nane. Katika pambano hilo Majiha alishinda kwa Pointi.
  Bondia Francis Miyeyusho (kushoto) akikwepa konde la Fadhil Majiha, wakati wa pambano lao la raundi nane. Katika pambano hilo Majiha alishinda kwa Pointi.
 Ilikuwa ni patashika, pambano hili la Miyeyusho na Majiha......
Miyeyusho akimpeleka chini Majiha.


No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.