Barabara ya Msimbazi imefungwa kwa muda ili kupisha ujenzi wa barabara hiyo kuanzia kwenye Taa za kuongozea magari za Fire hadi Kituo cha Polisi cha Msimbazi, pamoja na njia zote zinazoingia barabara hiyo, hivyo madereva mnaohitaji kuelekea maeneo haya ama Kariakoo mnatakiwa kutumia njia ya Shule ya Uhuru ama inayotokea Mnazi mmoja na kuingia vichochoro vinavyotokea Soko la Kariakoo.
TANZANIA KUENDELEA KUTUMIA AKILI UNDE KUKABILIANA NA MAAFA
-
Na Mwandishi Wetu, Masvingo - Zimbabwe.
TANZANIA imesema itaendelea kutumia teknolojia ya Akili Unde (AI) katika
kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa ...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment