Habari za Punde

*KUELEKEA PAMBANO LA MAYWEATHER NA PACQUIAO, WASIKILIZE WANAUME WAKATI WA MKUTANO WA UTAMBULISHO

Mayweather akiwa katika mazoezi makali ya kujiandaa na pambano hilo linalotarajia kufanyika Mei 2, Las Vegass Marekani.
Matangazo ya pambano hilo yakiwa katika baadhi ya majengo marefu ya mitaa ya jiji la Marekani.
Mayweather, akijifua
Maywether akiwa amevaa miwani yenye picha ya Pacquiao.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.