Kocha Mkuu wa Coastal Union,Jamhuri Kihwelu "Julio"akisisitiza jambo kwa wachezaji wa timu hiyo mara baada ya kumalizika mazoezi yao juzi kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani kwa ajili ya kujiandaa na mechi yao ya Ligi kuu dhidi ya Polisi Morogoro itakayochezwa Jumatano wiki ijayo kwenye uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro, Picha kwa Hisani ya Coastal Union.
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Mkaguzi Mwandamizi wa Vyombo vya Ndani na Nje ya Nchi wa TASAC Nahodha
Grayson Marwa akitoa maelezo kuhusiana boti boti zitavvyofanya kazi katika
shughul...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment