Habari za Punde

*WARSHA YA MPANGO KAZI WA KUHUSISHA MASUALA YA MABADILIKO YA TABIANCHI

 Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Angelina Madete akifungua Warsha ya kukamilisha Mpango kazi wa kuhuhisha masuala ya Mabadiliko ya Tabianchi katika maeneo ya Pwani ya Dar es Salaam. Warsha hiyo ya siku mbili inafanyika katika Hotel ya Stella Maris, Bagamoyo na inahusisha wadau kutoka Vyuo Vikuu, wadau wa maendeleo na Manispaa za
Dar es Salaam.
 Mratibu wa Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi katika maeneo ya pwani ya Dar es Salaam Mhandisi Ladislaus Kyaruzi (kulia) akifuatilia hotuba ya ufunguzi kutoka kwa Mgeni Rasmi (hayupo pichani). Kushoto ni Afisa Mazingira Mwandamizi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Patrick Ndaki.
 Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Angelina Madete akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu waliohudhuria Warsha katika Hotel ya Stella Maris, Bagamoyo.
 Washiriki wakiwa katika vikundi wakipitia na kurekebisha Mpango kazi.
Washiriki wakiwa katika vikundi wakipitia na kurekebisha Mpango kazi. Picha na Lulu Mussa- Afisa Habari - Ofisi ya Makamu wa Rais

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.