Habari za Punde

*WAZIRI WA FEDHA SAADA SALUM MKUYA AKUTANA NA JOLY WA (IMF) NA LAROSE WA (WB)

 Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya  na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha  na Mlipaji Mkuu wa Serikali  Dr. Servacius Likwelile walipomtembelea Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia  wa kundi namba 1 Afrika Bw. Louis Rene Peter Larose ofisini kwake wakiwa mjini Washington DC.Walio ambatana na Mhe. Waziri  kutoka kushoto ni Bw. Beda Shallanda Kamishina wa Sera,Bw.Ngosha Said Magonya Kamishina wa Fedha za nje na Bw. John Cheyo Kamishina wa Bajeti na wa pembeni ni mfanyakazi wa Benki ya Dunia.
 Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum akizungumza na  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia  wa kundi namba moja Afrika Bw. Louis Rene Peter Larose ofisini kwake jijini Washington DC.
 Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum akipiga picha ya kumbukumbuna kuagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia  wa kundi namba moja Afrika Bw. Louis Rene Peter Larose, baada ya mazungumzo yao jijini Washington DC.
Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya  akiwa kkatika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia  wa kundi namba moja Afrika Bw. Louis Rene Peter Larose. Kutoka (kushoto) ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha  na Mlipaji Mkuu wa Serikali  Dr. Servacius Likwelile , Bw. Beda Shallanda Kamishina wa Sera na Bw. Paul  Mwafongo ambaye ni Afisa katika ubalozi wa Tanzania na kutoka kushoto ni Bw.Ngosha Said Magonya Kamishina wa Fedha za nje Bw. John Cheyo Kamishina wa Bajeti na wa pembeni ni mfanyakazi wa Benki ya Dunia. Picha zote na Ingiahedi Mduma- Washington DC.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.