Habari za Punde

*ZITTO KABWE ALIPOUNGURUMA IRINGA MJINI.

 Kiongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo Zitto Kabwe akiwahutubia wakazi wa mji wa Iringa na Vitongoji vyake jana, ambapo ameibua ufisadi wa Sh.54 Trillioni kwenye ujenzi wa bandari ya Mwambani Mkoani Tanga. 
Kiongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo Zitto Kabwe, akisalimiana na vijana wa Mafinga, Mkoani Iringa jana mara baada ya mkutano wa hadhara kwenye ziara ya chama hicho inaoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.