Mwenyekiti wa Jukwaa la Wadau wa Tasnia ya Maziwa, Prof. Rath Ryoba, akifungua Mkutano wa
Tano wa Tasnia ya Maziwa (DDF) Mkoani
Manyara.
Baadhi
ya Washiriki ,Wadau wa Tasnia ya Maziwa wakimsikili Mwenyekiti Katika Mkutano wa Tano wa Jukwaa la Wadau wa Tasniaa Maziwa
(DDF) Uliofanyika katika Ofis za Halimashauri za Mji wa Babati Manyara.
Washirki
wa Tasnia ya Maziwa wakifuatilia mada mbalimbali kwenye Mkutano wa Tano wa
Jukwaa la wadau wa Tasnia ya Maziwa (DDF) uliofanyika katika Ofisi za
Halimashauri za Mji wa Babati, Manyara.
Washirki wa Tasnia ya Maziwa wakifuatilia mada mbalimbali kwenye Mkutano wa Tano wa Jukwaa la wadau wa Tasnia ya Maziwa (DDF) uliofanyika katika Ofisi za Halimashauri za Mji wa Babati, Manyara. Picha na Miraji Msala

No comments:
Post a Comment