Mmasai huyo akiiendelea kukata kinywaji kwenye Baa ya Hongera maeneo ya Sinza, huku akinyeshewa na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha leo mchana, jijini Dar. Hata hivyo Mmasai huyo alikendelea kuwavunja mbavu baadhi ya watu waliokuwepo eneo hilo kwa vituko vyake vya kuwasumbua wahudumu kila mara akihitaji huduma ya kuongezwa pombe, na mhudumu anapopeleka pombe baada ya dakika moja anamuita tene mhudumu akimwagiza aende kuchukua sh. Miatano ili ampelekee sigara huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha.
Wawekezaji Waomba Mazungumzo ya Moja kwa Moja na Serikali
-
DAR ES SALAAM:
MDAU na mwekezaji katika sekta ya kilimo, Malebo Lucas wa kampuni ya Malebo
Farm, ameishauri Serikali kupitia Kituo cha Ubia kati ya Sek...
18 minutes ago


No comments:
Post a Comment