Mmasai huyo akiiendelea kukata kinywaji kwenye Baa ya Hongera maeneo ya Sinza, huku akinyeshewa na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha leo mchana, jijini Dar. Hata hivyo Mmasai huyo alikendelea kuwavunja mbavu baadhi ya watu waliokuwepo eneo hilo kwa vituko vyake vya kuwasumbua wahudumu kila mara akihitaji huduma ya kuongezwa pombe, na mhudumu anapopeleka pombe baada ya dakika moja anamuita tene mhudumu akimwagiza aende kuchukua sh. Miatano ili ampelekee sigara huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha.
WAZIRI SANGU ATETA NA VIONGOZI WA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE (CPCT)
-
Na: OWM – KAM, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa
Deus Clement Sangu(Mb.), amekutana na kufanya mazu...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment