Twaweza inapenda kukualika katika shughuli zufuatazo :
Twaweza would like to invite you to the following series of events :
Twaweza would like to invite you to the following series of events :
1. Uzinduzi wa Ripoti ya Sauti za Wananchi | Maoni ya wananchi kuhusu ugunduzi wa gesi
SWAHILI
Tarehe: Jumapili Septemba 6 2015
Muda: 9:00 – 11:00am (Saa tisa mchana hadi saa kumi na moja jioni)
Mahali: Ukumbi wa Julius Nyerere International Conference Centre (JNICC) - Posta
Wageni Waalikwa
Vyama vitano vya siasa tulivyochagua ndivyo vuilivyokuwa na wagombea wengi zaidi (ngazi ya ubunge na udiwani) kwenye uchaguzi mkuu ujao. Vimealikwa kutuma wataalam wao kushiriki midahalo itakayojadili maeneo muhimu yanayohusu wananchi. Wawakilishi hawa watahojiwa na jopo la wataalam wa sekta husika.
Midahalo hii itarushwa moja kwa moja na Star TV na Redio RFA
No comments:
Post a Comment