Gari aina ya Pick Up lenye namba za usajiri T 963 BFW, likiwa tayari limeteketea kwa moto eneo la Mnara wa Voda Barabara ya Goba Mbezi Juu usiku wa kuamkia jana kama lilivyokutwa na kamera ya Mafoto jana asubuhi. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo kilichopelekea gari hilo kuwaka moto na haikuweza kufahamika kama waliokuwamo katikagari hilo walisalimika ama la.
RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI DODOMA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na wananchi wa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma ...
12 hours ago




No comments:
Post a Comment