Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiongea na wahariri wa Vyombo vya Habari (hawapo pichani) leo jijini
Dar es Salaam. Mhe Nape
alivipongezav yombo vya Habari kwakufanya wajibu wao katika kipindi cha
uchaguzi mkuu na kuwaahidi kuwa Serikali itakuwa karibu nao sana na kuhimiza kuwa serikali ya awamu ya Tano itatunga sharia nzuri itakayo rahisisha utekelezaji wa majukumu myao. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Jukwaa
la wahariri Bw.Absalom Kibanda.
Mhariri Mtendaji wa magazeti ya Jamhuri
Media Ltd Bw. Deodatus Balile akichangia hoja katika kikao kati ya wahariri wa vyombo vya habari na
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo.
Mhariri mkuu wa Gazeti
la The Guardian Bw. Jesse Kwayu akichangia hoja wakati wakati wa kikao kati ya wahariri wa vyombo vya habari na
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe .Nape Nnauye. Bw Kwayu alimsihi Mhe
Nape,
kuzidi kuwa karibu na waandishi na pia zitungwe sharia zitakazowawezesha waandishi wa habari kupata habari kwa urahisi na kufanyak azi yao ya kuhabarisha jamii.

No comments:
Post a Comment