Habari za Punde

*MADAKTARI BINGWA WAPATA MAFUNZO YA KUREKEBISHA MIGUU NA MIFUPA ILIYOPINDA

 Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Mifupa Dk.Richald Gellman  kutoka Califonia - San Fransisco Marekani (kushoto), akiwaonesha kifaa Chuma kinacho tumika kufanya marekebisho ya mifupa iliyo pinda baada ya kuunga vibaya au kutounga kabisa,   madaktari  mbalimbali kutoka nchi mbalimbali za Kenya, Burundi, Rwanda, Zambia, DRC Congo, Nigeri, Zimbabwe na wenyeji wao Madaktari wa Taasisi hiyo  waliohudhuria Mkutano huo utakaomalizika Juni 3, 2016, katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mifupa ya Fahamu Muhimbili (MOI)  Dar es Salaam leo. 
 Baadhi ni vifaa vya kufanyia kazi hiyo
Mafunzo yakiendelea.....
 Madaktari Bingwa wakiwa katika chumba cha mikutano katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Moi, leo...
Umakini wa mafunzo.....
Madaktari Bingwa wa Taasisi hiyo wakifuatilia mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.