Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi(katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya posta Profesa .Lettice Rutashobya( kulia) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Lucy Msafiri wakizindua madarasa na ofisi ya walimu katika shule ya Msingi Makambaku ambayo yamejengwa kwa ufadhiri wa benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa thamani ya shilingi milioni 35.
Jiwe la msingi
No comments:
Post a Comment