Habari za Punde

*BENKI YA POSTA (TPB) YAKABIDHI MADARASA NA OFISI YA SHULE YA MSINGI MAKAMBAKU, MKOANI NJOMBE

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi(katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya posta Profesa .Lettice Rutashobya( kulia) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Lucy Msafiri wakizindua madarasa na ofisi ya walimu katika shule ya Msingi Makambaku ambayo yamejengwa kwa ufadhiri wa benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa thamani ya shilingi milioni 35.
Jiwe la msingi

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.