Habari za Punde

*MHARIRI WA MICHEZO WA NIPASHE AMOUR HASSAN AUAGA UKAPERA, AMJIBU KAKA YAKE IBRA POZA ALIYEOA JANA

Mhariri wa Michezo wa Gazeti la Nipashe Amour Haasan, akimuombea dua mkewe, baada ya kufunga ndoa jana usiku huko mjini Zanzibar. Sherehe ya ndoa hiyo inatarajia kufanyika jijini Dar es Salaam,Julai 30.
Bw. Harusi Amour Hassan akipozi na mkewe kwa furaha, baada ya kufunga ndoa jana.
 Baadhi ya wanafamilia wakipiga picha za kumbukumbu 
Baadhi ya wanafamilia wakipiga picha za kumbukumbu

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.