
Watu wasiojulikana wamechoma moto Nyumba ya Katibu wa UVCCM mkoa wa Iringa na kutokomea, lakini wasamariawema waliowahi wameokoa jahazi kwa kufanikisha kuzima moto huo kabla ya kuenea katika nyumba nzima. Katika tukio hilo baadhi ya vitu vya thamani vimeteketea kwa moto huo.






No comments:
Post a Comment