Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Selemani S. Jafo na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa Joyce L. Ndalichako Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 17, 2018. Mhe. Rais amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za serikali za msingi na sekondari na amewaagiza mawaziri hao kusimamia hilo. Taarifa kamili inakuja. Picha na IKULU
DKT AKWILAPO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA SHELTER AFRIQUE
-
Na Munir Shemweta, WANMM Nairobi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt Leonard Akwilapo,
amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mk...
5 hours ago




No comments:
Post a Comment