Barabara ya Jangwani kituo cha mabasi ya mwendo kasi likiwa limejaa tope na kusababisha magari kupita kwa tabu mchana wa leo kutokana na mvua zilizonyesha jijini Dar es Salaam, jana na kupelekea kufungwa kwa muda barabara hiyo leo asubuhi jambo ambalo lilisababisha msongamano mkubwawa magari katika barbaraba nyingi za jijiji.
Ndani ya viwanja tisa Vinavyowezesha mbungi la AFCON 2025
-
Morocco inaandaa AFCON 2025 ikitumia viwanja tisa katika miji sita,
ikionyesha miundombinu ya soka ya kisasa na ya aina yake. Ifuatayo ni
orodha ya viwa...
9 minutes ago



No comments:
Post a Comment