Jamani athari ya vita ni noma, na ikishakuathiri hata ukiwa mahala ukasikia chupa ya soda tu ikifunguliwa kwa fujo, we ni lazima uanze kujihami, na hata kwa wale ndugu zetu mnaopenda kale kamchezo ka kujambishana msiende Dar Fur, mkafanya kamchezo hako mnaweza kupigwa risasi bure. Hebu cklick PLAY ili ujionee jamaa waliokuwa katika starehe zao ghafla mwanamama akafungua chupa ya kinywaji kwa ghafla ujionee kilichotokea ukumbini humo, kumbe kila mmoja wao alikuwa na siraha, hebu cheki kasheshe hii.
Video Athari ya Vita Darfur
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment