Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajula (kushoto) na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, Fredrick Mwakalebela, wakitiliana saini mkataba wa udhamni wa Soka 2010 baada ya kumalizika kwa mkataba wa awali. Nyuma (katikati) ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Leonard Thadeo, (kulia) ni Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Marcio Maximo, (kushoto) ni Meneja Masoko wa benki hiyo, Shillah Senkoro.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment