Waziri wa Miundombinu, Shukuru Kawambwa (kushoto) akibadilishana mkataba wa ushirikiano wa usafiri wa anga na Kamishina wa Maendeleo ya Kiuchumi na Uwekezaji wa Jordan, Dr. Salim Al Moghrabi kwa niaba ya Tanzania na Jordan katika siku ya pili ya ziara ya Rais Kikwete nchini Jordan. Utiaji saini huo ulifanyika katika mji wa Aqaba uliopo kando kando ya bahari ya sham juzi. Picha na John Lukuwi wa MAELEZO
MWANAFA AZINDUA LIGI YA RAMADHANI DAR, AAHIDI MAPINDUZI YA MIUNDOMBINU
-
SERIKALI imesisitiza dhamira yake ya dhati ya kuigeuza sekta ya michezo,
hususan mpira wa kikapu (Basketball), kuwa chanzo kikubwa cha uchumi na
ajira k...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment