Rais Jakaya Kikwete, akipiga picha ya kumbukumbu pamoja na baadhi ya wenyeviti, viongozi wa Vyama vya Siasa, na baadhi ya Mawaziri na viongozi wa Kamati za Bunge, wakati wa hafla ya kuweka saini Sheria ya matumizi ya gharama za fedha za uchaguzi iliyofanyika katika Viwanja Ikulu, Dar es Salaam leo.
Matukio : Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi , Awasilisha Salamu za pole za Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan kufuatia kifo cha Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amefika katika makazi ya Kiaskofu ya Jimbo Kuu Katoliki Dar es
Salaam...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment