Hafisa Habari wa Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Triford Ndimbo, akizungumza na waandishi wa habari jijini leo, kuhusu safari ya Timu ya Simba inayoondoka kesho kuelekea nchini Zimbabwe kwa ajili ya mchezo wake wa Kombe la Shirikisho na timu ya Lengthens.
Habari : Tumieni Kalamu zenu kulinda Amani, Mshikamano ; Samia Awaasa
WanaHabari
-
WAANDISHI wa habari nchini wameaswa kutumia taaluma zao kulinda mshikamano
wa kitaifa na kudumisha amani katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa
mw...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment