Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Nicholas Mgaya, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo akitoa tamko la Shirikisho hilo kuhusu kauli ya Rais Kikwetwe, akidai kuwa hakumtendea haki katika hotuba yake aliyoisoma kwa Taifa zima jana na wazee wa Dar es Salaam, Mgaya aliwataka wafanyakazi wote kuendelea na kazi na kutoa tamko la kusitisha mgomo uliokuwa umepangwa kufanyika nchini kote kesho na badala yake kusubiri yale yatakayoafikiwa katika kikao cha Mei 8 mwaka huu baina yao na Serikali.
PPRA, ZPPDA Zasaini Makubaliano Kuenzi Miaka 60 ya Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
Wakati kesho Tanzania ikisherehekea miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar, Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) na M...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment